X MAS siyo kwa ajili ya wasabato!

Katika sikuku ya X MAS ambayo haiadhimishwi na kanisa LA waadventista wasabato.vijana WA kanisa hili hushiriki katika makanisa mbalimbali kwa kujifunza masomo mbalimbali, kama nyimbo, kwata pamoja na nishani mbalimbali.KUNAFAIDA KWA KUMTUMIKIA MUNGU.


Comments