Katika idara ya vijana MAFANIKIO mengi hupatikana ya kifamilia,kiuchumi nahata ya kiafya lakini msingi wake unajengwa katika kukaa nakutulia katika chama bila kusahau miguuni pa yesu. Tumeshuhudia watu wengi wakipata wachumba katika chama,nakujenga familia bora kanisa zinazo mtukuza MUNGU.


Comments
Post a Comment